BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Wednesday, December 9, 2009

NG'E 1982 YA MANGWEAR YAZIDI KUFANYA VIZURI MTAANI

Albert Magwea a.k.a Ngwea au Cow Bama inasemekana bado anaendelea kupiga bao kupitia mauzo ya albamu yake ya pili, N’ge 1982 ambayo imeshuka sokoni hivi karibuni ikiwa na ngoma zaidi ya 10.
Kwa mujibu wa uongozi wa kampuni hiyo, albamu ya Ngwea ambayo ilikuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa na mashabiki wengi wa muziki wa kizazi kipya imeonekana kufanya vyema kitaani kutokana na ubora wake, zikiwemo kazi nyingi kali kama Nipe dili, Speed 120, Singida Dodoma, Mida Mibovu, CNN na nyingine.


Mabox yaiyosheheni abamu ya Ngwear

Ngwea ambaye alikuwa anagonga ‘buku’ pande za Bagamoyo Chuo cha Sanaa alisema kwamba nyimbo 15 kali zilizomo ndani ya albamu hiyo zimeifanya kuwa juu zaidi sokoni na kwamba amewataka mashabiki wake ambao bado hawajaifikia wajaribu kuisikiliza ili waone tofauti iliyopo na nyingine zilizotangulia mtaani.

“Kwa wale watakaohitaji kuinunua piga kupitia simu namba 0713 572323, 0754 999950,” alisema Cow Boy a.k.a Mwanachemba




No comments:

Post a Comment