BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Friday, June 26, 2009

MICHAEL JACKSON AFARIKI DUNIA- REST IN PEACE!!

Mwanamuziki wa Pop ulimwenguni Miachel Jackson, amefariki dunia usiku wa jana wa tarehe 25/06/2009 huko nchini Marekani mjini Los Angeles baada ya moyo wake kushindwa kufanya kazi.



Bila kujua kwamba amebakiza siku 113 tu za kuishi duniani, Michael Jackson alipokutana na waandishi wa habari mjini London Machi mwaka huu, aliwaahidi mashabiki wake wa Uingereza kuwa onesho lake lililopewa jina la THIS IS IT TOUR lililopangwa kufanyika O2 Arena kuanzia July 09 mwaka huu, lingekuwa onesho kali la kufungia pazia katika historia yake ya maonesho!


Masikini, hilo halikutokea kama alivyotaka, kwani Mungu naye tayari alikuwa na mipango yake isiyobadilika. Inaelezwa kuwa tiketi za onesho lake zilikuwa zikiuzwa kati ya paundi 50 na 75 na zilitararajiwa kumuingizia jumla ya paundi milioni 175!!!! Hii ingekuwa imemaliza kabisa matatizo yake ya kifedha aliyokuwa nayo

katika press hiyo, Michael aliahidi kwa kusema maneno yafuatayo kwa wanahabari wa Uingereza: “I’ll be performing the songs my fans want to hear. This is really it. This is the final curtain call. I’ll see you in July.” (Nitaimba nyimbo wanazopenda mashabiki wangu kuzisikia, huu ni uhakika. Huu ni wito wangu wa mwisho, tutaonana mwezi wa saba)


Michael Jackson amecha watoto watatu - Michael Joseph Jackson, Jr., Paris Michael Katherine Jackson and Prince "Blanket" Michael Jackson II


HAKIKA KIFO HAKINA HURUMA- PUMZIKA KWA AMANI NDUGU YETU MICHAEL JACKSON A.K.A WACKO JACKO





Mashabiki wa Michael Jackson wakiomboleza msiba kwenye mitaa mbalimbali huko nchini Marekani.




Watu wakitazama Video za msanii Michael Jackson mara tu baada ya kupata habari juu ya kifo chake.


Njemba ikiomboleza


Kweli Wacko Jacko alikuwa ni mtu wa watu!

Jamani eeh, Think- How many stopped breathing since the year started..? How many had bad accidents which left disabled?? Tunapaswa kumrudia Mungu.

Kila hatua katika maisha yako ifanye kama funzo, yeyote atokae upeoni mwako kwa njia ya kifo chukulia kama ndugu yako kwani ipo siku yatakufika pia, wahenga wanasema KIFO HAKINA MWENYEWE!!

RAMBIRAMBI KWA WADAU

DJ CHOKA: Ur the best Michael.....1 in a million....truely amazing. RIP. Condolences to your family. And all the mother %$^&% who dont like michael.....die in hell.

3232 Dar:i grew up listening to ur songs michael....cant believe ur gone....peace be on ur soul.... ur the King ...ur the King...!!

LETH: Rest in peace. Just saw his wife's profile on milllionaire personals site """"" W e a l t h y D a t e r . c o m """""" last week. I am wondering what kind of relationship she is looking for on that site.

LUCY NGOWI:condolence to the family of Michael Jackson,we are saddened for the untimely death of a great artist,may you rest in peace mike,we will never forget you,we will surely miss yo

CUTE:weve lost the best singer and dancer and i think no one can be as good as him.HES THE BEST. safia Dubai UAE

HASNA: sikutegemea kama mwisho ungekuwa kama mshumaa unaozimika kwenye upepo, RIP Wacko!

IDDA ELIAS:AFTER DEATH IS JUDGEMENT.LET US ALL LEARN FROM THIS MAN.I WILL NOT LIKE TO JUDGE HIM BUT MY HEART GOES OUT TO HIS FAMILY


ANKO MO: Michael you are great hero and we love you but God love you most, may your soul rest in perfect peace.

No comments:

Post a Comment