BLOG HII IMEDHAMINIWA NA: MWEKASU HOSTEL, PWEZA NIGHT CLUB TANGA, SOPHIA PRODUCTION, AFRICAN DESIGN, BREEZE FM, PANGANI COAST CULTURAL TOURISIM PROGRAMME, NA SAFARI LODGE ANNEX
Photobucket

Sunday, June 21, 2009

BENNIE MAN KUPIGA SHOW TANZANIA- ARE YOU READY.!!!

Msanii Bennie Man kutoka nchini Jamaica, anatarajiwa kutua nchini Tanzania kunako jiji la Dar es Salaam kwa ajili ya kupiga show moja ya ukweli. Kwa mujibu wa Str8 Music Entertainment moja ya wadhamini wa show hiyo, Binnie Man atasindiizwa na T.I.D, Makaumua na Q Jay, Hussein Machozi, TMK Wanaume Familiy, CP, Mangwear pamoja na wa vipaji kutoka Tanzania House of Talent (THT). Wazeeeeya kaeni mkao wa kula pande za DSM!!


No comments:

Post a Comment